Zaidi ya mwezi mmoja umeshapita tangu nchi ya Urusi ilipoivamia Ukraine. Mji wa Mariupol umeachwa ukiwa umeharibiwa vibaya, kama inavyoonyeshwa kwenye picha, mji huu wenye bandari umefanyiwa uharibifu mkubwa uliosababishwa na mashambulizi yanayoendelea kutoka kwa jeshi la Urusi.

Kabla ya vita, Mariupol ulikuwa mji wa 10 kwa ukubwa nchini humo, wenye wakazi zaidi ya 430,000. Lilikuwa jiji kuu la kisasa lililojaa sanaa na utamaduni. Ukumbi wa Drama ya Mkoa wa Donetsk, viunga vichache kaskazini mwa Bahari ya Azov katikati mwa jiji, ulikuwa mojawapo ya alama zake nyingi.

Angalia picha za hapo chini zinavyoonyesha jinsi mji ulivyokuwa na mandhari nzuri kabla ya uvamizi wa Urusi.

Mariupol, Ukraine, at night.
Mariupol, Ukraine, at night, Dec. 22, 2020. (Mrpl.travel via Wikimedia Commons)
Mariupol, Ukraine, in the daylight.
Mariupol in the daylight, May 1, 2021. (Oleksandr Malyon via Wikimedia Commons)
A view of houses along Peace Avenue in Mariupol, Ukraine.
A view of houses along Peace Avenue, May 1, 2021. (Oleksandr Malyon via Wikimedia Commons)
An aerial view of the theater in Mariupol, Ukraine.
An aerial view of the theater in Mariupol, Sept. 24, 2019. (Лев Сандалов via Wikimedia Commons)
Another view of the drama theater in Mariupol, Ukraine.
Another view of the drama theater, May 1, 2021. (Oleksandr Malyon via Wikimedia Commons)
The theater square in Mariupol, Ukraine.
The theater square, May 2, 2021. (Oleksandr Malyon via Wikimedia Commons)

Lakini mashambulizi ya mara kwa mara ya vikosi vya Urusi – zaidi ya mashambulizi 50 hadi 100 kwa siku ya nchi kavu, angani na baharini – yamesababisha mamia kwa maelfu kuukimbia mji huo, maafisa wa Ukraine walisema.

Meya wa Mariupol, Vadym Boichenko, hivi majuzi alitoa wito kwa watu waliosalia, ambao alikadiria kuwa watu 160,000, kuondoka kikamilifu katika jiji hilo ambalo limezingirwa. Ofisi yake ilisema wiki hii kwamba karibu 5,000 ya wakaazi wameuawa, ikiwa ni pamoja na zaidi ya watoto 200.

Wakazi wote waliobaki katika mji huo mpaka hivi sasa hawana chakula, maji, na umeme.

Extensive damage from shelling is seen in Mariupol, Ukraine.
Extensive damage from shelling can be seen in Mariupol on March 23. (Maximilian Clarke/SOPA Images/LightRocket via Getty Images)
A view of the damage after the bombing of the drama theater in Mariupol, Ukraine.
The damage after the bombing of the drama theater on March 18. (Handout via Reuters)
A woman walks past a destroyed building as civilians evacuate Mariupol, Ukraine.
A woman walks past a destroyed building as civilians evacuate Mariupol on March 21.(Anadolu Agency via Getty Images)
People evacuating Mariupol, Ukraine.
People evacuating Mariupol on March 18. (Anadolu Agency via Getty Images)
People evacuating Mariupol, Ukraine.
People evacuating the city on March 18. (Anadolu Agency via Getty Images)
Previous articleStandout Looks From The Oscars 2022 Red Carpet
Next articleDiamond Platnumz Feat. Zuchu – Mtasubiri