RAIS Jakaya Kikwete jana alitangaza baraza lake la mawaziri na kuwatupa nje mawaziri waandamizi akiwemo Mustafa Mkulo, huku akiweka wazi kuwa atawashukia makatibu wakuu na wakurugenzi wote ambao wizara na idara zao zilihusishwa na tuhuma za ufisadi.

 
News by : Tanzania Daima


Copyright © 2011 — Bongo Radio