MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, huku wanafunzi 23,520 tu ambao ni sawa na asilimia 5.16 ndiyo waliofaulu na wengine 103,327 sawa na asilimia 26.02 wamepata daraja la nne.
Durban - Bands of homeless Tanzanians went on the rampage in Albert Park in Durban on Thursday, attacking compatriots they accused of not financially supporting them.
LAS VEGAS (AP) — A 20-year-old Boston University sophomore and a self-described "cellist-nerd" brought the Miss Universe crown back to the United States for the first time in more than a decade when she won the televised contest Wednesday.
Twenty children died today when a heavily armed man invaded a Newtown, Conn., elementary school and sprayed staff and students with bullets.
The gunman, identified as Adam Lanza, 20, was found dead in the school.
Swahili Fashion Week 2012 Rocked The City Of Dar Es Salaam
11 Dec, 2012 18:06:42
Swahili Fashion Week is a fast growing platform for fashion and accessory designers from Swahili speaking countries and the African continent to showcase their talent, market their creativity and network with clientele and the
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' ameamua kwenda shule kuongeza elimu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kisanii na kimaisha, ili kuongeza ufanisi zaidi wa kazi zake.
SERIKALI ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania imezifutia usajili meli 36 za nchi ya Iran zilizokuwa zimesajiliwa kwa ajili ya kusafirisha mafuta, baada ya kubainika kuwa, zilipeperusha bendera ya Tanzania kinyume na utaratibu.
NASHVILLE, Tenn. (AP) -- The Grammy Awards celebrated the diversity of music as six different artists tied for top nominee: Kanye West, Jay-Z, Frank Ocean, Dan Auerbach of The Black Keys, Mumford & Sons and fun.
Auerbach received five nominations as a member of the Keys
ASILIMIA 44 ya wapenzi wanaokwenda Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kupima vinasaba (DNA), kwa ajili ya kujua uhalali wa watoto kwa baba, wamethibitishiwa kuwa watoto hao si wa kwao.
Msanii maarufu wa Bongo Flava ambaye pia alikuwa ni Muigizaji wa vichekesho katika filamu mbalimbali nchini Tanzania, Hussein Ramadhani au kama alivyojulikana na wengi na jina lake la kisanii la Sharo Milionea, amezikwa kijijini kwao Lusanga, Handeni katika wilaya ya Muheza mkoani Tanga
Mawazo na Mapendekezo yangu kwa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano Tanzania:
Msanii Wa Bongo Flava Na Mchekeshaji Sharo Milionea Afariki Dunia
26 Nov, 2012 14:15:35
Msanii wa Bongo Flava na mchekeshaji maarufu wa Kitanzania Hussein Ramadhani Mkieta ambaye anajulikana na wengi kwa jina lake kisanii la Sharo Milionea au Sharobaro amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea mjini Muheza Mkoani Tanga nchini Tanzania.
Fainali za mashindano ya urembo kwa nchi za Afrika ya Mashariki yanayojulikana kama Miss East Africa kwa mwaka huu wa 2012 yatafanyika jijini Dar Es Salaam nchini Tanzania.
Kwa mara ya kwanza, warembo mbalimbali wanaoishi baran
Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani (CIA) David Petraeus, amejiuzulu nafasi yake hiyo ya ukurugenzi kwenye shirika hilo linaloheshimika duniani kwa ujasusi kufuatia kukiri kwake kuwa na mahusiano ya kimapenzi nje ya ndoa na mwandishi wa habari Paula Broadwell.
MJADALA mkali uliibuka bungeni jana baada ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) kuwalipua baadhi ya viongozi waandamizi wa Serikali akitaka wachunguzwe kwa makosa ya kuficha mabilioni ya fedha nje ya nchi.
Zitto alitoa kauli hiyo jana bungeni wakati akiwasilisha
Msanii mashuhuri duniani wa muziki wa Pop kutoka nchini Marekani Justin Timberlake ametembelea Tanzania huku akiambatana na mkewe ambaye wamefunga nae ndoa hivi karibuni nchini Italy mcheza sinema Jessica Biel.
Safari hiyo ambayo wameifanya rasmi kwa ajili ya fungate l
HATIMAYE kile kitendawili cha muda mrefu cha Nani ata twaa taji la Redds Miss Tanzania 2012, kimeteguliwa usiku wa Novemba 3, 2012, baada ya Mrembo kutoka Kitongoji cha Sinza na Kanda ya Kinondoni jijini Dar es